ikiwa katika hatua za mwisho za kutua katika kiwanja cha ndege cha arusha. Taarifa zinasema kuwa ndege hiyo ilikuwa na rubani pekee anayejulikana kwa jina la Jamal B S,au maarufu kama Babu Sambeke aliyekuwa anatokea West Kilimanjaro. Taarifa zaidi zinasema kuwa rubani huyo amefariki muda mfupi baada ya ajali hiyo kutoke na mwili wake umekimbizwa hospitali ya Mount Meru ...
Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments
Post a Comment