Baada ya issue ya yeye na mke wake kwenda nchini Cuba kwa anniversary yao kuwa issue ya kitaifa ambayo pia imetokelezea katika headlines duniani kote, Jay Z ameamua ku open-up... na rapa huyu ameingia studio usiku wa jana na kurekodi ngoma hii hapa ambayo ndiyo kwanza imefunguliwa katika makaratasi, OPEN LETTER ndio jina la ngoma na unaweza kuisikiliza hapa. #FAHAMU pia kuwa kazi hii ni mkono wa producer Timberland na Swizz Beats, Sikiliza na pia tuambie maoni yako ni nini
NEW SONG: JAY Z - OPEN LETTER, AAMUA KUWACHANA WALE WOTE WALIOIFANYA SAFARI YAKE YA CUBA KUWA NI ISSUE KUBWA
Reviewed by Unknown
on
4/11/2013
Rating: 5
No comments
Post a Comment