Header Ads

Breaking News

PICHA: MWANAUME AFUNGA NDOA NA MAITI YA MCHUMBA WAKE HUKO THAILAND

  Mwanaume mmoja huko Thailand amechukua uamuzi wa kuoa maiti ya aliyekuwa mchumbawake ili kutimiza ahadi  yake ya ndoa kwa mchumba wake.  Chadil Deffy mwenye umri wa miaka 28 pamoja na mchumbawake ambaye ni marehemu Sarinya Kamsook mwenye umri wa miaka 29 walitarajia kufunga ndoa mwaka huu lakini kwa bahati mbaya  mwanadada Sarinya alipata ajari mbaya ya gari iliyopelekeankifo chake


No comments