WAPENZI WAMECHUKUA HATUA YA KUJINYONGA PAMOJA BAADA YA WAZAZI KUKATAA WASIOANE

mkasa huu wakusikitisha na waainayake uliotokea nchini Congo ..baada ya wapenzi hawa wawili kuamua kuchukua maamuzi kujinyonga kwakujininginiza kwenye mti hadi kufa baada ya wazazi wamvulana kukataa mtoto wao asimuoe msichana huyo..
Baadaya jitihada zao za kuwashawishi kushindikana
basi waliamua kuchukua hatua hiyo ya kujinyonga….
Wazazi tuwe makini na maamuzi yetu mbele ya watoto
Baadaya jitihada zao za kuwashawishi kushindikana
basi waliamua kuchukua hatua hiyo ya kujinyonga….
Wazazi tuwe makini na maamuzi yetu mbele ya watoto
No comments
Post a Comment