Rais Obama pamoja na
Bush walikutana leo Asubuhi katika Ubalozi wa Marekani uliopo jijini Dar
es Salaam na kufanya tendo la kutoa heshima zao kwa Walipoteza Maisha
pamoja na wale wote walioathirika katika shambulio la Ugaidi katika
Ubalozi wao hapa nchini mwaka 1998.
HIVI NDIVYO ILIKUWA LEO OBAMA NA BUSH WALIVYOKUTANA KATIKA UBALOZI WA MAREKANI JIJINI DAR ES SALAAM
Reviewed by Unknown
on
7/02/2013
Rating: 5
No comments
Post a Comment