Header Ads

Breaking News

Jamhuri Kiwelu ‘JULIO’ atua Coastal Union


DSC08365
Kocha Msaidizi wa Coastal Union, Jamhuri Kiwelu “Julio”kulia akisisitiza jambo mazoezini jana mara baada ya kuwasilia mkoani Tanga kuifundisha timu hiyo kushoto ni Kocha Mkuu James Nandwa, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Coastal Union, Albert Peter, Katibu Mkuu Coastal Union, Kassim El Siagi na Meneja wa Coastal Union Akida Machai.

DSC08375
DSC08380
Kocha Msaidizi wa Coastal Union , Jamhuri Kiwelu “Julio”akizungumza na viongozi wa Coastal Union mara baada ya kuwasili mazoezini jana. (Picha kwa Hisani ya Coastal Union).
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Coastal Union.
DSC08382

No comments