HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA LIONEL MESSI JUU YA MASHTAKA YA KUKWEPA KULIPA KODI
Mshambuliaji
nyota wa ki-argentina Lionel Messi ameitwa mahakamani tarehe 17 ya
September kwenda kujibu shitaka la kukwepam kodi nchini Hispania
Messi
25 mchezaji bora wa dunia mara nne pamoja na baba yake inasemekana
kukwepa kodi kwa kuuza nembo yake katika makampuni ya nje ya Hispania
kinyume cha sheria na inatajwa kiasi cha euro £3.4m) ingawa wote
wamekanusdha shtaka.
Lionel
Messi ambaye mshahara wake ndani ya Barcelona unafikia kiasi cha
euro 16
million kwa mwaka unamfanya kuwa moja ya wachezaji wanaolipwa kiasi kikubwa cha pesa duniani pia anamikataba ya mamilioni ya fedha kutokana na mikataba binafsi toka kwa makampuni mbali mbali ya matangazo
million kwa mwaka unamfanya kuwa moja ya wachezaji wanaolipwa kiasi kikubwa cha pesa duniani pia anamikataba ya mamilioni ya fedha kutokana na mikataba binafsi toka kwa makampuni mbali mbali ya matangazo
Messi
na baba yake wanatuhumiwa kukwepa kodi zaidi ya mara tatu kutokana na
mauzo ya picha zake nje ya Hispania
Na kama
atapatwa na hatia Messi huenda akakumbwa na rungu la kutumikia
kifungo jela cha miaka sita na faini kubwa kutokan ana sheria ya kodi
ya Hispania.
Lakini
mwenyewe Messi kupitia katika ukurasa wake wa
Facebook ameandika kwamba kutokana na tuhuma hizo amezikanusha na
kusema wao wanafahamu sheria na walifuata utaratibu wote wa kisheria
za kodi
Mkurugenzi
wa kampuni ya Adidas Herbert Hainer ambaye inadhamini utengenezaji
wa viatu anavyovaa mchezaji huyo hakua na subira bali ameweka wazi
kwamba ;tutaendelea kufanya kazi na messi kwani ni mchezaji bora na
tunajivunia kuwa nae”
No comments
Post a Comment