>LOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa furaha na Mbunge wa
Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa wakati wa mapokezi
yaliyofanyika Makuyuni, tayari kuanza ziara mkoani Arusha leo.ikiwa ni
mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa
kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM,
pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi
pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi
Mhe. Lowassa amewafagilia Kinana na Nape kwa kazi nzuri wanaoifanya ya kuzunguka
mikoa mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha uhai wa chama ambapo alimshauri Ndugu Kinana kupunguza kasi wanayokwenda nayo kwani ni kubwa. Pia alisema hakuna katibu
wa chama aliyefanya kazi kubwa ya kukiimarisha chama kama Kinana.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisalimiana na Mbunge wa
Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa wakati wa mapokezi
yaliyofanyika Makuyuni, tayari kuanza ziara mkoani Arusha leo.ikiwa ni
mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa
kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na
kuzitafutia ufumbuzi.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akijadiliana jambo na Mbunge wa
Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa wakati wa mapokezi
yaliyofanyika Makuyuni, tayari kuanza ziara mkoani Arusha leo.ikiwa ni
mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa
kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizinduw mradi wa umeme vijini
(REA) katika kijiji cha Lolkisale,Wilayani Monduli mkoani Arusha.
Pichani kulia,Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa jimbo la
Monduli,Edward Lowassa (kushoto) wakishiriki kupaka rangi jengo la hospitali ya
wilaya,jengo hilo hadi kukamilika linatarajia kutumia kiasi cha fedha shilingi
bilioni tisa
Pichani kulia,Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa jimbo la
Monduli,Edward Lowassa (kushoto) wakishiriki kuweka vitofali katika jengo la
hospitali ya wilaya,jengo hilo hadi kukamilika linatarajia kutumia kiasi cha
fedha shilingi bilioni tisa.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na baadhi ya wakulima wa mpunga
wakishiriki kwa pamoja upaliliaji wa shamba la Mpunga,Mto wa Mbu,wilaya Monduli
mkoani Arusha.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) akiwa sambamba na Mbunge wa
jimbo la Monduli,Edward Lowassa wakitoka kushiriki kupalilia shamba la
Mpunga,Mto wa Mbu wilayani Monduli mkoani Arusha.
PICHA NA; ZEPHANIA J KAPAYA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA NA; ZEPHANIA J KAPAYA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
No comments
Post a Comment