Mtandao wa kiislamu kukabiliana na IS
Jarida hilo la kidijitali kwa jina ''Haqiqah'' ama ''Ukweli'' limezinduliwa na mtandao wa Imam na unalenga kuwafunza vijana wadogo kuhusu ukweli wa makundi ya itikadi kali.
Imam hao wanasema kuwa wana wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa uvumi unaozushwa na makundi hayo katika mtandao,na kwamba jarida hilo jipya ndio njia pekee ya kukabiliana na uovu,na mawazo mabaya.
No comments
Post a Comment